HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

7 December 2012

Ghoulam KUCHEZEAA Algeria NA SIO UFARANSA

Shirikisho la soka linalosimamamia mpira duniani  Fifa limemuidhinisha Mzaliwa wa ufaransa ambaye kwa sasas ni raia wa algeria   Faouzi Ghoulam  kuchezea timu ya taifa ya Algeria  , Shirikisho la soka la  Algerian limetangaza kuwa kijana huyo mwenye miaka 21  ambaye ni mlinzi wa kushoto aliiichezeza ufaransa kwenye timu ya  chini ya miaka 21 lakini leo hii ameamua kuchagua algeria
Nimeamua kuchagua  Algeria kwa sababu ipo moyoni nilivutiwa nayo na ni chaguo sahihi  

Huyu ni mchezaji wa pili kufanya hivyo mwaka huu baada ya mchezaji wa Parma naye kufanya hivyo  Ishak Belfodil.

Timu hiyo ipo kundi moja la na  D dhidi  Cote d’Ivoire, Tunisia pamoja na  Togo.

2 comments:

  1. What's up, for all time i used to check weblog posts here early in the dawn, since i enjoy to find out more and more.
    http://developinglinks.com/index.php?do=/blog/35054/yacht-charter-croatia-and-the-top-territory/
    Look into my blog post ... dads

    ReplyDelete
  2. Hi, Neat post. There's a problem with your web site in web explorer, might check this? IE nonetheless is the market chief and a large part of people will pass over your excellent writing because of this problem.
    http://citylinkpharma.com/?q=node/31688/
    Review my blog : walmart

    ReplyDelete

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers