Wanashikiliwa kwa mahojiano zaidi baada ya kumuingilia mwanamama mwenye miaka 34 ambaye alibakwa na vijana watatu siku ya jumatatu .
mashitaka hayo yalipitiwa na Met kutoka Askari wa Kent jumatatu iliyopita.
Msemaji wa Metropolitan Polisi amesema : "watu watatu wenye umri kati, miaka 26, 23 na 22, walikamtwa katika kitongoji cha Fulham kwa makosa ya ubakaji.
"na bado watabakia katika kituo cha polisi hapa London ."
No comments:
Post a Comment