HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

24 June 2013

GRAND MALT NA KAZI KUBWA YA KUINUA MICHEZO TANZANIA


 

Timu za Baraza la Wawakilishi za mchezo wa soka na netiboli, mwishoni mwa wiki zilikabidhiwa vifaa vya michezo vya aina mbalimbali ili kuziwezesha kushiriki mashindano mbalimbali kwa uwezo zaidi.
 
Vifaa hivyo vilitolewa na kinywaji kisicho na kilevi cha Grand Malt, wadhamini wakuu wa Ligi Kuu ya Zanzibar.
Akikabidhi vifaa hivyo kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Seif Idd, Meneja Masoko wa Grand Malt, Fimbo Butallah alisema, wataendelea kuwekeza katika michezo kwani wanaamini itatoa fursa kubwa kwa watu mbalimbali kushiriki na hata kujiongeza vipato vyao.

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers