17 June 2009

MIPANGO MIJI

Mfano wa nyumba hii utajengwa kila sehemu nchini hili kuanda makzi bora kwa wananchi moja kati ya vivutio vinavyoendelea katika viwanja vya mnazi mmoja katika monyesho ya sekta ya Umma Huu ni mfano wa nyumba za viongozi ambao utajengwa maaeneo ya masaki na oysterbay jijini Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment