WAKURUGENZI WA MAKAMPUNI YA SIMU USO KWA USO NA JK IKULU
Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Mh Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na wakurugenzi wa mitandao ya simu za kiganjani wa Zain, Zantel na Tigo leo jijini Dar. kutoka kushoto ni bwana Nabil Tofilis wa kutoka kampuni wa Zantel, Pablo Guardia wa kampuni ya Tigo na Khaled Muhtadi wa kampuni ya Zain.
lisungu_chisara@yahoo.com
TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA
No comments:
Post a Comment