HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

20 July 2009

HAPA NDIPO UGOMVI ULIPOANZA KATI YA ARGENTINA NA UINGEREZA

Diego Armando Maradona akimfunga peter shilton goli kwa mkono katika fainali za kombe la dunia zilizo fanyika nchini Mexico mwaka 1986 waingereza wanamlaani mpaka leo hii gwiji huyo wa Argentina kwa kuwafunga goli la mkono kiasi cha kumchukia kwani hawataki hata kumuona.

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers