Kampuni ya mtandao wa simu ya mkononi Tigo imezindua na kufungua Tawi jipya litakalotumika kuhudumia wateja wa malipo ya baada ndani ya Jengo la JM Mall jijini Dar es salaam.
Akizungumzia uzinduzi huo Mkuu wa mauzo SARAH MWIGUNE Alisema ufunguzi wa tawi hilo jipya litakalotoa
huduma maalum kwa wateja wetu wa malipo ya baada ni udhihirisho tosha kuwa tigo tunaendelea kuzingatia hali halisi ya wateja pale tunapoanda bidhaa mpya na pia tunajari jinsi ya kumfikishia mteja ili kuhakikisha kila mteja anafurahia huduma zetu kabambe..
No comments:
Post a Comment