HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

14 August 2009

BREAKING NEWS AJARI MAENEO YA KUNDUCHI NJIA PANDA YA KUELEKEA KUNDUCHI BEACH JIONI HII

Hakika nilihisi niko katika mabomu ya mbagala kwani ulitokea mlio mkubwa kijana aliyejulikana kwa jina la Philipo akiwa amegongwa na gari aina ya Canter T336 HELUFI ZA Mwisho azikufahamika ilipogongana na pikipiki yake.

Huyu ndiye Filipo ambaye amegongwa na Gari Hiyo lakini alivaa HELMET ajari za barabalani zinazidikuongezeka kwani mwendesha pikipiki alikuwa katika mwendo kasi kwa mujibu wa mashuhuda

Hawa ndio Baadhi ya mashuhuda ambao walikuwa wakijaribu kuangalia kinachoendelea mpaka sasa atujafahamu haki jamaa yetu huyu aliyegongwa ipo vipi

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers