5 October 2009

VODACOM PREMIER LEAGUE


Beki wa timu ya Azam Ibrahim Shikanda (kushoto) akichuana na mchezaji wa JKT Ruvu, Damasi Makwaya wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom uliofanyika jana kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.Timu hizo zilifungana bao 1-1.

Mchezaji wa simba musa hasan mgosi alipokuwa akimkaba mchezaji wa moro united katika mfululizo wa ligi kuu soka tanzania bara Vodacom


Simba 2 - 1 Moro United


Wafungaji

Danny Mrwanda dk 23 Yona Ndabila dk 57

Joseph Owini dk 84



Mtibwa 3 - 1 Tanzania Prison

Saidi Rasgudu Ramadhani Katabalala

Soud Abdallah

Hussein Jabu



Toto African 0 - 0 Majimaji



Kagera Suger 0 - 2 Yanga

Mrisho Ngasa dk 17



No comments:

Post a Comment