HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

16 July 2010

AHSANTE KWA KUFIKA OFISI KWANGU OTHMANI HAPA NI HITS FM

mzee wa Mtaa kwa Mtaa akijiumauma katika maiki wakati akipigwa maswali ya laivu na watangazaji wa Hits FM pindi alipoenda kuwatembelea leo,Mtaa kwa Mtaa inawapongeza sana watangazaji wa Hits FM kwa kazi nzuri waifanyayo na pia inatoa shukrani kubwa sana kwa kuona mchango wa libeneke la Mtaa Kwa Mtaa nina amini utakuwa umeona tofauti rafiki yaki yangu othmani michuzi .
watangazaji mahiri wa kipindi cha Msisimko wa Pwani ndani ya studio za Hits FM,kulia ni Samira Suleiman na shoto ni Sauda Mkalokota wakiwajibika leo.
Mzee wa Mtaa kwa Mtaa akiwa katika picha ya pamoja na watangazaji wa Hits FM,waliokaa kushoto ni Sauda Mkalokota na kulia ni Samira Suleiman,aliesimama nami ni Milmish Simai.

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers