HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

16 July 2010

KAMA KADI HII HUNA USIJE KABISA

Aliyeshika kadi ni mjumbe wa kamati ya uchaguzi wa Dar es salaam young african Philemon ntahala kulia ni luis sendeu msemaji wa klabu hiyo na kushoto ni vicent mwalusako katibu mkuu wa kuajiriwa wa klabu hiyo ambao wanatarajia kuafanya uchaguzi wao wa kwa mchagua rais mpya wa klabu hiyo katika miaka minne ijayo ambapo sasa imani madega ameamaliza muda wake uchaguzi utafanyaika jumapili katika ukumbi wa PTA sabasaba jumapili hii

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers