HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

15 July 2010

MWAKAREBELA KWAHERI RASMI KWA WANAHABARI

Katibu mkuu wa shilikisho la soka la kandanda Tanzania Frederick rameck lugano mwakabelebla ameaaga rasmi wana habari na kuwatakia kazi njema katika kazi zao za kila siku kwani yeye amekuwa akishikiana nao kwa njia zote aidha akasema analishukuru shilikisho la soka la kandanda la Tanzania kwani wamefanya kazi begabega na rais leodgar tenga na kuna mambo ambayo wameweza kufanya na ya po walisohindwa kuyafanya lakini tote ilikuwa katika kujenga zaidi na amewataka waendeleee kushika mana zaidi kwani watafanikiwa hata kama yeye hatokuwemo.

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers