28 August 2012

MUSONYE AITOLEA NJE KENYA KUANDAA CECAFA ASEMA WALISHINDWA KUONGEA NA MDHAMINI


 Katibu mkuu wa Baraza la vyma vya soka afrika mashariki na kati  Nicholas Musonye Akipokea Kombe ambalo hushindaniwa kutoka kampuni ya  EABL (Uganda ) Ambaye ni mkurugenzi wa masoko  Lemmy Mutahi  katika sherehe iliyofanyika nchini uganda leo hii . kutoka kulia ni Makamu  rais FUFA Livingstone Kyambadde.

Je kwanini Kenya imepokonywa uenyeji wa kombe la chalenge.
SIKIZA HAPA:


Mkurugenzi wa masoko wa kampuni ya bia ya tusker ya uganda  Lemmy Mutahi  (katikati ) akikabidhi mfano wa hawala kwa Katibu wa baraza la vyama vya soka afrika mashariki na kati CECAFA Nicholas Musonye.Kulia  makamu wa rais wa  FUFA t Livingstone Kyambadde jijini kampala leo 

No comments:

Post a Comment