HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

12 October 2012

Johan Bruynee ANG'ATUKA Radioshark


Meneja wa zamani wa mwendesha baskeli  Lance Armstrong's , Johan Bruyneel, amekung’atuka  katika nafasi  katika sehemu aliyokuwa akifanyia kazi Radioshack  ameamua kufanya hivyo mara baada ya  shirika linalo zuia mataumizi ya dawa ya kuongeza nguvu katika mashindano ya Tour de Frances.
Japokuwa amesema kuwa atapambana na tuhuma dhidi yake zilizotolewa na usada  
Bruyneel alitajwa kwenye taarifa ya  USADA ambayo ilikuwa ikimhusisha na kujiiingiza kumsaidia Armstrong kutumia madawa ya kuongeza nguvu  .
Kuanzia leo  ", Johan Bruyneel hatokuwa tena katika nafasi ya umeneja katika nafasi ya radio shark Nisan Trek ambapo taarifa zimetolewa kwenye tovuti ya timu hiyo  .

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers