HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

12 October 2012

NMB YADHAMINI GOLF GYMKHANA CLUB


Mkurugenzi wa Wateja Wakubwa wa Benki ya NMB, Kees Verbeek akimkabidhi Mjumbe wa Kamati ya Chama cha Gofu Tanzania (TGU), Meja Samwel Hagu, mfano wa hundi yenye thamani ya sh. mil. 15 za udhamini wa mashindano ya gofu ya kumbukumbu ya Nyerere ‘NMB Nyerere Masters Golf Tournament’ katika hafla iliyofanyika Dar es Salaam leo. Mashindano hayo yatakayoshirikisha wachezaji 100 kutoka mikoa mbalimbali nchini yatafanyika kesho na kesho kutwa kwenye viwanja vya Gymkhana Dar es Salaam. Kushoto ni Meneja Mawasiliano wa NMB, Josephine Kulwa

 Chanzo. www.tanzania sports .com

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers