HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

11 October 2012

Roger Federer ATETEA UBORA WAKE BAADA YA KUSHINDA KATIKA MASHINDANO YA Shanghai Masters

Roger Federer Ameendeleza record yake ya kukaa kwa wiki mia tatu kwa kushika namba moja katika katika ubora wa tenis dunia mara Baada ya kumshinda   Stanislas Wawrinka 4-6 7-6 6-0 katika mashindano ya  Shanghai Masters. 

 Bingwa huyo mara  17-wa Mashindano ya Grand Slam alitokea nyuma kumshinda mpinzani wake ambaye pia ni raia mwenzake kutoka  Swiss Wawrinka na kuingia hatua ya robo fainali
 Federer Amesema : ilikuwa ni mechi ya kushangaza ninaweza kusema hii ni moja katika mechi kubwa kwangu ninajivunia record hiii hakuna shaka juu ya hilo "
 Federer ambaye ana miaka 31-sasa atakutana na Raia wa   Croatia  Marin Cilic katika  hatua ya mwisho ya nane bora .
 Alikuwa ni  Wawrinka, (27), ambaye alianza vizuri huko china ambapo alishinda set ya kwanza
 Federer alipewa alama zilizomfanya awe sawa na mpinzani wake kitaalamu   tie-break.
 na Wawrinka,ambaye ni mchezaji namba  13th, alishindwa kumshinda   Federer  kwenye mechi hiyo katika hatua  ya tatu .
 "najua kwa kawaida ni jambo la kushangaza kushinda namba moja nilipokuwa mtoto siku dhani hata siku moja kama kuwa ningekuwa katika nafasi hii 

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers