15 November 2012

Shola Ameobi NIMEFARIJIKA KUCHEZEA NIGERIA

Mshambuliaji wa Newcastle United  Shola Ameobi amefarijika  kuichezea kwa mara ya kwanza Timu ya taifa ya   Nigeria pale walipo ifunga   Venezuela huko  Florida jna  Jumamatano katika mechi ya kirafiki .

 Mchezaji huyo wa zamani wa Timu ya taifa ya uingereza Chini ya Miaka 21 aliingia kipindi cha pili baada ya kocha wa Nigera Stephen Keshi kufanya mabadiliko kwa kumtoa Onazi Ogenyi anayekipiga Lazio ya italia  katika mechi ya kirafiki ambayo Nigeria ilishinda mabao   3-1 .

 Japokuwa alicheza kwa nusu saa ,Mshambuliaji huyo  alifarijika baada yakucheza moja ya mechi ya kimataifa maishani mwake 
 "Ni mechi yangu ya kwanza ,Nina jiskia heshima kucheza soka ya kimataifa aliimbia tovuti ya BBC

 Ameobi alishangiliwa na mashabiki na maofisa baada ya kusaidia kupatikana kwa bao la tatu  kijana huyo mwenye miaka 31- hana jingine bali kuwaheshimu wachezaji kwa kazi waliyoifanya kiwanjani hapo jana .

No comments:

Post a Comment