18 December 2012

Mohamed Bin Hammam JELA MAISHA



Mohamed Bin Hammam, Moja kati  ya wagombea Urais katika chama cha soka kinachosimamia mpira ulimwengu FIFA ambaye alihusika katika tuhuma za Rushwa na kujiuzulu katika nafasi zote alizokuwa akishilia amepigwa marafuku kabisa kuto kujihusisha na mchezo wa soka katika maisha yote ya ulimwengu  

Hammam ambaye ana miaka 63- alikuwa mkuu wa  chama cha soka cha asia alituhumiwa kutumia rushwa kumuondoa madarakani  Rais wa sasa wa fifa Sep  BLATTER katika uchaguzi mkuu  uliofanyika mwaka jana.

Adhabu ilifutwa na mahakama ya usuluhishi wa mchezo july mwaka jana lakini Fifa  imetoa adhabu nyingine ya Kumfungia maisha na hatoruhisiwa tena kuongoza shuguhuri za soka Duniani 

No comments:

Post a Comment