4 January 2013

Kikwete Amzika Sajuki

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mh. Jakaya Mrisho Kikwete akiweka udongo kwenye Kaburi la Marehemu Sadick Juma Kilowoko (SAJUKI) wakati wa Mazishi yake yaliyofanyika mchana huu kwenye Makaburi ya Kisutu,Jijini Dar es Salaam.


 

 
 

 
Hii ndio safari ya Mwisho ya msanii wa filamu za Tanzania Bongo movie  maaraufu kwa jina la Sajuki

No comments:

Post a Comment