22 January 2013

Youssef Msakni alimaliza ALGERIE

Yousseff Msakni

Mchezaji wa Timu ya taifa ya Tunisia  Youssef Msakni alimaliza mechi ya mafahari wawili kutoka afrika kaskazini pale  Tunisia ilipo ikandamiza  Algeria katika dakika za mwsiho za mchezo wa kombe la mataifa ya afrika  mchezo uliochezwa katika uwanja wa  Rustenburg.
 Na kuipatia timu yake ushindi wa bao moja sifuri 
Tai hao sasa wanaungana na Tembo wa cote d'voire  ambao waaliifunga Togo mabao mawili kwa moja katika mechi ya mwanzo ya kundi D 




No comments:

Post a Comment