15 March 2013

BIG UP AZAM FC LIBERIA


Photo 

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) linaitakia kila la kheri timu ya Azam kwenye mechi yake ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Barrack Y.C. II itakayochezwa Jumapili (Machi 17 mwaka huu) nchini Liberia.

Mechi hiyo ya kwanza ya raundi ya kwanza itachezwa jijini Monravia na timu hizo kurudiana wiki mbili baadaye jijini Dar es Salaam. Ofisa Habari wa Azam yuko na timu hiyo Monrovia na anapatikana kwa namba +231888386655.

No comments:

Post a Comment