6 March 2013

FERGUSON ASUSIA WANAHABARI KISA KADI NYEKUNDU


Manchester United's Nani

Kocha wa Manchester United  Sir Alex Ferguson hakuwa tayari kuzungumza na vyomb vya habari ,baada ya timu kusukmwa nje ya ligi ya mabingwa barani ulaya Dhidi ya   Real Madrid katika uwanja wa   Old Trafford.

Ferguson alishindwa kumvumilia  mwamuzi kutoka uturuki Cuneyt Cakir baada ya kumpa kadi nyekund Nani baada ya kumfanyia rafu mbaya  Alvaro Arbeloa katika dakika ya  56 wakati United ilikuwa ikongoza kwa goli la kujifunga la  Sergio Ramos's. 

Sir Alex Ferguson
Kocha msaisizi wa United  Mike Phelan alimwakilisha Feg  katika mahojiano baada ya mechi kumalizka  : "Chumba cha kubadilishia sio salama kwetu Kocha mkuu amekasirsihwa na maamuzi ya mwamuzi wa leo ndio maana hayuko hapa .
na mimi ndiye nitakaye zungumza 
 
"Sidhani kama mkufunzi mkuu atakuwa sawa kuzungumza .
Naongea haya ili muone ni kwa jinsi gani tumesikitishwa hii ni klabu kubwa duniani  ."
Phelan : "Tumesikitishwa na kuumia sana tuna mashaka kwanini limetokea na kwa sababu gani limetokea .

 sio rahisi mkiwa kumi kiwanjani mkacheza na real Madrid .
" Waamuzi wapo kiwanjani ili kufanya Maamuzi lakini unatakiwa kufanya maamuzi ya maana . 

Najua vyombo vya habari na watazamanji duniani  kote wametazama hili na watakuwa na maoni tofauti lakini tumesikitishwa sana."

No comments:

Post a Comment