HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

6 April 2013

AZAM YAFUZU KWA USHINDI WA MECHI YA MKONDO WA KWANZA



Timu ya soka ya Azam fc imesonga mbele katika hatua inayofuata ya kombe la shirikisho baada ya kwenda suluhu na Barack young controlers ya liberia kwenye mchezo uliofanyikaa katika uwanja wa a taifa jijini Dar es salaam timu ya azam ilikosa nafasi mbili za wazi hasa kipre tcheche ambaye alibaki yeye na mlinda mlango na kukosa goli la wazi licha ya ndugu yake kumuomba pasi akiwa pembeni .
Azam inasonga mbele kwa mabao mawili kwa moja ambayo walipata katika mechi ya kwanza iliyofanyika nchini Liberia sasa azam itacheza na Rabat ya Moroco majuma mawili yajayo

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers