19 April 2013

JE WAWEZA KUSTAAJABU YA ALEX SONG NA MAISHA YA BARCEOLNA HILI NDILO ANALOTAKA KUFANYA !!!!

StarAfrica 




Kocha wa Arsenal Arsene Wenger amekanusha taarifa kuwa yuko mbioni kumrejesha kiungo wa klabu ya Barcelona Alex Song kurudi tena arsenal wakati wa kiangazi.

Mchezaji huyo wa kimataifa wa cameruni amesema kuwa hana furaha ya tangu ajiunge na klabu ya soka ya Barcelona na amekuwa akikalia benchi tangu alipojiunga kwa ada ya uhamisho wa pauni milioni kumi na saba na angependa kuondoka katika klabu hiyo
“Hakuna mapango wa kumrejesha tena hivi karibuni . Nimeskia kuwa anataka kusaria kwa msimu mmoja zaidi ni mchezaji wa kiwango bora zaidi duniani

No comments:

Post a Comment