Raia wa afrika kusini , Daniel Frazer Bennett amechaguliwa kuchezesha mechi ya kufuzu fainali za kombe la dunia 2014 kati ya Morocco na
Tanzania mchezo utakao chezwa June 8 huko Marrakech.
Mwamuzi huyu ndiye aliyekumbwa na shutuma nyingi wakati wa fainali za kombe la mataifa ya afrika 2013 lililo fanyika Africa kusini atakuwa akisaidiwa na
Zakhele Thusi Siwela na MKenya’ Marwa Range. Morocco ni ya tatu katika kundi C ikiwa na alama mbili wakati Tanzania ina alama sita katika nafasi ya pili wakati ya kwanza ni Cote d’ Ivoire (7 pts) huku Gambia ina (1 pt)ikishika mkia .
No comments:
Post a Comment