12 May 2013

WE NADAL NDIO NINI HIVYO ?????



Rafael Nadal Ametwaa taji la Tano katika mashindano saba tangu aliporejea kutoka majeruhi na ameshinda taji la tatu la  Madrid Masters baada ya kushinda kwa set  6-2, 6-4 Dhidi  Stanislas Wawrinka Leo Jumapili .
Nadal, ambaye kwa sasa anashikilia  Takwimu ya kumshinda Mpinzani wake Mara tisa 9-0 kutoka uswisi aliongoza set  mbili za kwanza ndani ya nusu saa .
Na baada ya mpinzani wake kuonyesha uwezo wa kukomaa  Wawrinka aliongeza bidii katika set ya pili lakini , Nadal Aliendlea kuongoza hadi kufikia set  4-3  na kujinyakulia taji la  23rd Masters Series .
Nadal sasa ana mataji  55 katika maisha yake ambapo mengine yanamfuata katika siku  40 na bado hajayacheza .
"Kiukweli nina furaha sana na ushindi huu na wa muhimu sana ukizingatia na nilipotokea kwenye Majeruhi ."
- Rafael Nadal
"Kiukweli nina furaha sana na ushindi huu na wa muhimu sana ukizingatia na nilopotokea ," .
"Msimu uliopita ulikuwa mgumu na kucheza kwangu ilikuwa ni ndoto  .
"Hii ni hari nzuri zaidi nimekuwa nayo katika mechi .
"Nafikiri hii imekuwa mechi ya kuvutia ambayo nimeweza kucheza vizuri na nashukuru kwa watazamji kunisapoti imekuwa rahisi kwangu

No comments:

Post a Comment