17 October 2013

SHAFI DAUDA ANASEMA NI ZENGWE TU TFF ALIPA FAINI TFF (SIKIZA SAUTI)






Baada ya Kamati Maadili kubaini kuwa Shaffih Dauda,  mwanafamilia wa TFF katika taarifa iliyotumwa kutoka katika shirikisho hilo  na kugungundua kuwa ni Mwenyekiti wa Bombom FC, kwani fomu yake ya kuomba uongozi ilipitishwa na klabu ya Simba na pia ameshakuwa kiongozi katika ngazi mbalimbali ndani ya Chama cha Mpira wa Miguu Wilaya ya Kinondoni (KIFA), hivyo yeye ni ‘Mwanafamilia  waTff  kwa mujibu wa kifungu cha 2(v) cha Kanuni za Utii za TFF toleo la 2013.




Na kumpa  onyo kali na faini ya sh. milioni moja anayotakiwa kuilipa ndani ya siku tatu Nimemyafuta shafii dauda kwa njia ya simu





Akilipa faini ataweza kuendelea na mchakato wa kugombea nafasi ya uongozi aliyoomba.

BOFYA  HAPA USIKIZE



No comments:

Post a Comment