
Wigan Athletic imeshinda taji baada ya miaka 81-katika historia ya klabu hiyo baada Ben Watson's kufunga katika dakika za mwisho katika fainali iliyofanyika katika uwanja wa Wembley kwenye kombe la FA Cup dhidi ya machester city
Roberto Martinez's amekuwa mhispania wa kwanza kutwaa taji katika ardhi ya uingereza huku akiiwezsha kwa mara ya kwanza timu ya ligi ya uingereza kuchukua ubingwa wa FA cup huku ikiwa katika hatari ya kushuka daraja Pablo Zabaleta alilimwa kadi nyekundu kabla ya mchezo kumalizika na zilikuwa zimbaki dakika sita tu mpira kumalzika .
akitokea kwenye Benchi Watson, ambaye amekosa msimu huu baada ya kuumia mguu mwezi November,
Ndiye aliye wainua mashabiki wa Wigan's akiunganisha kichwa baada kupigwa kona ya Shaun
Maloney's na kuwafanya city kutoka bila kombe lolote msimu huu
.
FA CUP KATIKA PICHA 

Kocha wa wigan Roberto Martinez akishangilia kombe na Ben Watson's ambaye ndiye mfungaji wa goli pekee katika mechi hiyo.

Mwamuzi wa mchezo wa kombe la FA CUP andy Marriner akimpa kadi nyekundu Pablo Zabaleta baada ya kumchezea faulo Macmanaman

Aston Villa 1-0 Chelsea
Aston Villa 1-1 Chelsea
GOAL - Aston Villa 1-1 Chelsea - Frank Lampard (61 DK)
Woow I Chelsea ilichokozwa na sasa! Frank Lampard anafunga goli tena la 202nd kwa Chelsea, akipokea pasi kutoka kwa Hazard,akiuzungusha mpira kwa mguu wa kushoto mita 15 .
Ni jambo zuri kwa Chelsea sasa
Frank Lampard Anafunga goli la pili kuongeza bao lake la 203 kwa mtindo wa aina yake . waligongeana pasi nasi na Eden Hazard na kumpa nafasi ya kufunga Lampard ambaye anaoneka shujaa wa mchezo .
klabu yake zamani ya Celtic ilifanya kama hivyo katika mechi yao dhidi ya St Johnstone leo