11 April 2014

Gavad Zohrehvand VS Fransic Cheka (RADIO PRESS CONREFENCE )



 Bondia Fransic Cheka akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake wa kesho April 12 katika ukumbi wa PTA Sabasaba kushoto ni bondia Gavad Zohrehvand wa Iran


Mpambano huo wa raundi kumi utasindikizwa na mabondia Fransic Cheka na
bondia Gavad Zohrehvand wa Iran atakaecheza raundi 8mbali na mapambano hayo kutakuwa na mpambano mwingine utakaowakutanisha mabondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' atakae pambana na Mustafa Doto mpambano wa Raundi sita pia kutakuwa na mapambano mengi ya utangulizi yatakayosindikiza mchezo huo

No comments:

Post a Comment