4 July 2014

AUREVOIR UFARANSA

Hugo Lloris concedes an early goal
Germany imefuzu katika hatua ya Nusu fainali na kuweka Rekodi ya kufika katika hatua hiyo kwa mara nne mfululizo ambapo goli la  Mats Hummels' katika kipindi cha kwanza lilitosha kabisa kuibamiza ufaransa

  Mlinzi Hummels alimzidi akili  Raphael Varane na kupiga kichwa mpira baada mpira wa adhabu ndogo kutoka kwa  Toni Kroos's .

Mlinda mlango Manuel Neuer alizuia michomo ya  Mathieu Valbuena's kabla ya  Karim Benzema's kupiga na kuzuiliwa na mlinda mlango huyo  .
 World Cup 2014: France 0-1 Germany highlights

MGermany' Andre Schurrle alipga mpira mwepesi ambao  Hugo Lloris aliokoa kabla ya Neuer kukokoa kwa kiganja cha mkono shuti la  Benzema's na kujihakikishia ushindi kwa ujerumani.


Joachim Low's na timu yake sasa watapambana na mshindi kati ya Brazil na colombia ili mmoja akacheze fainali .

No comments:

Post a Comment