HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

28 August 2014

CRISTIANO RONALDO NDIYE BORA ULAYA

Cristiano Ronaldo wins Uefa Best Player in Europe Award

Mchango  wa Cristiano Ronaldo's kwa timu ya soka ya  Real Madrid CF's baada ya kutwaa ubingwa wa ulaya msimu uliopita umetambuliwa na Shikirisho la soka la Bara la Ulaya UEFA na kupewa tuzo ya Uchezaji Bora wa Ulaya  mwaka  2013/14 katika sherehe zilizofanyika katika ukumbi wa  Grimaldi Huko  Monaco huku Rais wa   UEFA  Michel Platini akimkabidhi tuzo hiyo .

 Ronaldo, ni nmoja ya wagombania tuzo hiyo kwa mwaka wa Nne mfululizo , Amemaliza akiwa mbele ya mchezaji wa  FC Bayern München's Arjen Robben na  Manuel Neuer katika kura zilizopigwa papo kwa pao ikijumuishwa Waandishi wa habari  54 ambao walipiga kura kutumia mfumo wa Kieletronick wakiwapigia kura vijana wa tatu walitangazwa kugombea tuzo hiyo jana.

Ronaldo, akiongea katika Hafla hiyo baada ya kupangwa kwa  makundi ya ligi ya mabingwa barani ulaya   ,Amesema : "Nina furaha Sana na  Lazima niwashukuru Wachezaji wenzangu kwasababu bila wao nisngefanikiwa ,Binafsi sina Zawadi kama hii katika Chumba cha Makumbusho yangu na ili jambo sio rahisi kulifanya . Sasa naenda kuweka katika makumbusho yangu , . "

Tangu kikombe hiki kipewe mfumo mpya hakuna Timu ambayo imeweza kutwaa mara mbili mfululizo je anasemaje Ronaldo
"Litakuwa Jambo zuri lakini tunatazamia kufanya msimu huu

Liverppol celebrate 2005 Champions League win

Mabingwa mara tano wa Ulaya Wamepangwa katika kundi moja na  Real Madrid wakiwa wanarejea katika Ligi ya mabingwa bara la ulaya . 
Liverpool,inarejea mara baada ya miaka mitano ,pia wamepangwa  na klabu za   Basel na Ludogorets ya  Bulgaria.
Manchester City itakutana na  Bayern Munich kwa mara ya tatu mfululizo katika mismu minne , wakiwa pamoja na CSKA Moscow na  Roma. 
Arsenal wao watambana na  Borussia Dortmund kwa msimu wa pili , huku  Chelsea wakipata unafuu kwa kupangwa na   Schalke, Sporting Lisbon na Maribor.



GROUP A


Atletico Madrid
Juventus
Olympiakos
Malmo
GROUP B


Real Madrid
Basel
Liverpool
Ludogorets
GROUP C


Benfica
Zenit St-Petersburg
Bayer Leverkusen
Monaco
GROUP D


Arsenal
Borussia Dortmund
Galatasaray
Anderlecht
GROUP E


Bayern Munich
Manchester City
CSKA Moscow
Roma
GROUP F


Barcelona
Paris Saint-Germain
Ajax
APOEL
GROUP G


Chelsea
Schalke
Sporting
Maribor
GROUP H


Porto
Shakhtar Donetsk
Athletic Bilbao
BATE

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers