13 September 2014

SIMBA 3 TIMU YA ZANZIBAR 3

 
Mchezaji wa zamani wa timu ya Annur na Malindi Ali Adof akipongezana na mchezaji wa zamani Simba Madaraka Suleiman. baada ya mchezo wao kumalizika kwa kutoka sare ya 3--3.
 
 
Wachezaji wa zamani wa Timu ya Simba wakiwa na wachezaji wa zamani wa Timu ya Taifa  na ya  Zanzibar wakipongezana baada ya mchezo wa kirafiki kumalizika kwa sare ya mabao 3--3, mchezo uliofanyika uwanja wa Amaan Zanzibar.mwenye jezi namba 18 Shem Frenk na jezi namba 15 Mbengu Mohammed.

No comments:

Post a Comment