Bingwa wa mita mia nane ambaye amezua gumzo huko Berlin ujerumani eti dada huyu ni anaonekana sio mwanamama eti mwanaume ukimwangali kwa haraka lweli anavitu vyote ambavyo unaweza kusema ni mwanaume lakini jinsia ni ya kike kwa mujibu wa wenzake wanaokaa nae kwenye hoteli moja hata alipokuwa capetown Airport alipotaka kwenda msalani wahudumu waliomwonyesha choo cha wanaume lakini akawaambia yeye ni binti lakini uongozi wa IAAF wamesema watapima vipimo vya DNA ilikujua ukweli
20 August 2009
Caster Semenya
Bingwa wa mita mia nane ambaye amezua gumzo huko Berlin ujerumani eti dada huyu ni anaonekana sio mwanamama eti mwanaume ukimwangali kwa haraka lweli anavitu vyote ambavyo unaweza kusema ni mwanaume lakini jinsia ni ya kike kwa mujibu wa wenzake wanaokaa nae kwenye hoteli moja hata alipokuwa capetown Airport alipotaka kwenda msalani wahudumu waliomwonyesha choo cha wanaume lakini akawaambia yeye ni binti lakini uongozi wa IAAF wamesema watapima vipimo vya DNA ilikujua ukweli
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
lisungu_chisara@yahoo.com
TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA
TANGAZA KWA MFUMO HUU
No comments:
Post a Comment