Afisa habari wa shilikisho la soka la kandanda tanzania akilezea mabadiliko ya mchezo wa kirafiki katika ya stars dhidi ya harambee stars ya kenya mchezo utakaofanyika katika uwanja mpya wa taifa baada ya mafarao wa misri kuchomoa dakika za mwsho dhi ya tanzania baada ya kushindwa kutuma majina kwa muda muafaka kwani kocha mkuu wa timu alikuwa ajawasili nchini.
No comments:
Post a Comment