HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

29 October 2010

TIMU YA TAIFA YA POOL KUSHIRIKI MASHINDANO YA DUNIA, PARIS UFARANSA

Meneja wa Bia ya Safari lager,Fimbo Buttalah (kati) akizungumza mbele ya vyombo vya habari katika mkutano uliofanyika leo,wakati wa kutangazwa kwa timu ya Taifa ya Pool itakayoshiriki mashindano ya Dunia huko nchini Ufaransa mapema mwezi ujao.Kushoto ni Mwenyekiti wa Pool Taifa,Isack Togocho na kulia ni Katibu mkuu Pool Taifa,Amos Kafwinga.

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers