HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

1 September 2012

Mao Dze Dong ZANZIBAR WAANZA KUKARABATIWA

Uwanja wa Mao ukiwa katika matengezezo Makubwa ili  uwanja huo ili uwe na muaonekano wa Kimataifa na Kitaifa, Matengenezo hayo yanasimamiwa na Uongozi wa Taifa ZFA
 

Huu ndio uwanja wa Mao unavyoonekana sasa ukiwa katika hari ambayo siyo ya kuridhisha 

 


Hizi ndizo vikalio vilivyojengwa zama hizo je wewe wawezakaa babu zako waliweza sasa unakarabatiwa bila shaka utawekwa na viti .

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers