HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

24 April 2013

BAYERN MUNICH YAVUNJA REKODI YA MIAKA KUMI NA SITA

  Thomas Mueller
Bayern Munich ipo karibu kabisa kuingia hatua ya fainali ya michuano ya ligi ya mabingwa barani ulaya baada ya kuibamiza  Barcelona katika mkondo wa kwanza wa nusu fainali ya michuano hiyo . 
Thomas Muller aliipatia bao la uongozi  Bayern kwa kichwa na baada  Mario Gomez alifunga goli la pili kabla ya nusu ya kwanza kumalizka
Huku Lionel Messi akionekana kutokuwa sawa baada ya kuandamwa na majeruhi hakuweza kufua dafu , Thomas Mueller alipiga mpira wa kichwa kabala ya  Mario Gomez ajafunga kwa shuti la mbali .
Bayern Munich v Barcelona
Mueller alitengeneza krosi safi ambayo ilikutana na  David Alaba's na hakufanya makosa aliweka mpira kimiani dakika nane kabla ya mpira kwisha  .
Barca hawakurahishwa na kitendo kilichofanywa na Robben's cha kupiga mpira katika dakida za mwsiho wa mchezo 
Bayern Munich v Barcelona
Hakuna kingine , kwani Messi hakuweza kufua dafu kwani hakuweza kucheza kama ilivyotarajiwa baada ya kuumia msuri katika mechi za awali na kuifanya bayern kuonekana bora kiwanjani nakufika nusu fainali ya tatu katika miaka minne .

Mara ya mwisho Barca's kufungwa mabao mabao manne ilikuwa mwaka 1997 dhidi ya Dymano kiev ya ukrane leo wamefungwa tena  mabao manne dhidi ya Bayern Munich .

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers