3 May 2009

MOROGORO YA MMBARAKA MWISHEHE

Jionee urithi wa waruguru Mambo vp mnaiona milima ya usambala morogoro hii ndio urithi tulio achiwa na mababu zetu hii ndio morogoro aliyoiimba mmbaraka mwishehewakati huo nadhani unaweza kusema wakati wa mwalimu milima inayo beba sifa kubwa ya morogoro yenye kutiririka kutoka kwenye vilele vya milima hiyo maji ya huwa baridi Nadhani unaona ilivyo pendeza!!!!

No comments:

Post a Comment