Jionee urithi wa waruguru

Mambo vp mnaiona milima ya usambala morogoro hii ndio urithi tulio achiwa na
mababu zetu hii ndio morogoro aliyoiimba mmbaraka mwishehewakati huo nadhani unaweza kusema wakati wa mwalimu

milima inayo beba sifa kubwa ya morogoro yenye kutiririka kutoka kwenye vilele vya milima hiyo maji ya huwa baridi

Nadhani unaona ilivyo pendeza!!!!
No comments:
Post a Comment