ni moja kati ya maonyesho ya makabila ya kusini mwa tanzania amabayo yanaeleza mila na tamaduni asilia za makabila hayo ambapo mambo kemkem yataonekana kunzia tar 14 hadi jumamosi ya 16 mwezi wa nane ambapo mambo kekem yahuso makabila ya kusini yataonekana ikiwemo vitu vya asili ngoma watanzania wanakaribshwa katika maenyesho hayo ambayo yanafanika katika ukumbi wa Aliance Francaise
No comments:
Post a Comment