24 July 2009

MTAARAMU WA KUKATA MAJANI KWENYE MTI TENA KWA STAREHE

Mdau wetu anakata nyasi kwenye mti tena kwa starehe zake akitumia jukwaa asilia na mkasi wa kisasa tena amekunja nne anautengeneza unakuwa wa duara akimaliza kukata nitakuonyesha utakavyokuwa ila hiyo ni kesho kakakaaa

No comments:

Post a Comment