HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

1 July 2009

Tamasha la sanaa Algeria

Mwanandale mwanyekwa mwanamitindo wa sanaa ya kuchonga vinyago na kutengeneza udongo mfinyazi akiwa amepozi tayari kwa safari kwenda algeria vilevile unaweza kutembelea blogg yake ,www.mwanandale.blogspot.com Balozi wa Algeria Nchini Tanzania Abdelnounaa`m Ahriz Akiwa amembeba coletha bedenedict tayari katika msafara kwenda nchini algeria kushiriki Tamasha la sanaa litakalo fanyika kuanzia tarehe 3 mwezi huu hadi 12

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers