HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

11 August 2009

NDANI YA JIJI LA DSM MCHANA WANLEO

Fundi la rangi akijaribu kuandika maneno upya ya Shirika la nyumba la Tanzania NHC Mtaa wa Uhuru Jamaa huyu alikuwa haeleweki mambo ambayo alikuwa akifanya inaoneka kama anaugonjwa wa akiri kutokukaa kwenye network
Jamaa huu akaamua kutembea pekupeku huku akisukuma mzigo katika mtaa wa posta ya zamani alikuwa akielekea maeneo ya Bandarini
Naomba kuuliza mtalo huu upokwenye barabara inayopita magari ya mwenge mbagara karibu na kwa Lukuvi pale sasa mtalo huu ni maji machafu au ya matenki mabovu ya mafuta?

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers