HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

10 August 2009

SAFARI ILIKUWA NZURI

Moja kati ya waendeshaje baiskeli waliokwenda tanga na katibu wa chama cha baiskeli mkoa said kengele wa DSM Said kengele anasema kwakweli kuna haja ya kuyarekebisha baadhi ya vivutio kwani tumeona baadhi ya mapango mkoni tanga kwakweli hali bado sio nzuri kwani watarii watakapokuja inabidi kuboresha kwani hata watarii toka nje wapate raha ya kuona tanga kuna nini kwani hata wahudumu wa makumbusho yale bado hali yao sio nzuri wakirebisha mambo yatakuwa safi

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers