HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

29 June 2009

TSA YAPIGWA TAFU SAFARI YA ITALIA

Chama kinachosimamia Mchezo wa kuogerea nchini kimepata msaada kutoka makampuni ya Exporting Trading company Inayo jishgurisha na technorojia ya mawasiliano ya kompyuta limited na Messrs Mahindra and Mahindra inayojishgurisha na vifaa vya kilimo kupeleka mchezaji mmoja katika mashindano ya kugolea duniani FINA yanayotarajia kufanyika Rome iatalia kuanzia July 12 hadi 2 August ambapo Tanzania inatarajiwa kuwakilishwa na wachezaji kumi na mbili na mpaka hivi sasa imepata gharama za mchezaji mmoja.akizungumizia swala hilo katibu mkuu wa Chama Cha kuogerea nchini Ramadhan Namkoveka Amesema kuwa Anaya shukuru sana makampuni hayo kwa msaada walio toa kwani umeleta faraja kwao kwani tamzania itawakilishwa kamakawaida katika michuano hiyo na kuomba makampini mengine kujitokeza kwa wingi kutoa msaada hili kusaidia wachezaji waliobakia kupta nafsi ya kushiriki michuano hiyo.
pichani ni katibu mkuu wa chama kuogerea( TSA) Ramadhan Namkoveka

ISHIRINI WATINGA HATUA YA TATU BONGO STAR SEARCH

Jumla ya ya washiriki ishirini wamefuzu hatua ya tatu ya kumtafuta nyota wa muziki wa Bongo(Bongo Star Search) Chini ya Udhamini wa Vodacom Tanzania ,Familiy Heath Intenational ,PEPSI,Kilimanjaro Drinking water na precision Air .Akizungumza na waandishi wa habari Jaji wa shindano hilo Rita Paulsen Amesema kuwa iliwachukua wakati mgumu kuchagua washiriki hao ambapo Zanzibar imeshindwa kabisa kutoa mshiriki kutokana na kutokukidhi kiwango cha uwimbaji ambapo aliwataja washiriki waliofanikiwa kuingia hatua ya ishirini bora
Emilian Rwejuna sponsorship Marketing manager wa vodacon na jaji wa Bongo star seacrch Rita Paulsen
Imani lisu,Frola Ezekiel(arusha),Beatrice Casian(Mwanza),Juma Malik ,Mwapwani Yahaya,Sarafina Mshindo(Dodoma)peter Msechu(Kigoma)Leah Julius(Tabora),Issah Ahmed,Anitha Jackson(Mbeya),Jackson George(Tanga)Alice Peter,Catherine Ntepa,Kelvin Mbati,Lulu Abdully,Maybou Mtekateka,Mary Lucas,Yacinta Richard na Saidi Omary(Dar es salaam) vilevile washiriki hao watapata mafunzo zaidi ya Kimuziki na kupigwa msasa ipasavyo na pia wataanza wataanza kutumia ala kwenye uimbaji wao na kutoa nafasi kwa watanzania kuwapigia Kura.

Great Come Bach for Brazil

A Clint Dempsey flick and a Landon Donovan strike on the counter put the USA into a surprise 2-0 half-time lead. Luis Fabiano pulled one back for Brazil before Kaka was denied an equaliser when his header was wrongly judged not to have crossed the line. Luis Fabiano's headed second levelled matters before, five minutes from time, Lucio nodded in a corner to win it. After upsetting the odds so spectacularly with their 2-0 semi-final victory over Spain, the USA almost tore up the script again, against opponents who had beaten them 3-0 in the group stage of the competition. Predictably, favourites Brazil had the lion's share of possession, but the incisive football was played by the American underdogs throughout the first half. Indeed, with their first attack the USA scored. Jonathan Spector launched a cross from deep at Dempsey, whose swinging volley made the faintest of touches to direct the ball past Julio Cesar. Even at such an early stage, it was clear that Brazil were waiting for one of their leading lights to create something from nothing as opposed to taking collective responsibility. Three times their star-turn Kaka created chances for others, firstly Robinho, then Felipe Melo and finally Maicon, but each time American goalkeeper Tim Howard was equal to the final shot. After 25 minutes, Brazil were made to pay for their profligacy as the USA launched a superb counter-attack which resulted in a superb second goal. Donovan found Charlie Davies on the left wing, whose incisive return pass found Donovan in space and bearing down on goal but still with plenty to do. The striker's touch took him away from the covering Ramires and his next touch was a perfectly placed side-foot shot past Cesar.
Brazil denied the USA another shock victory by coming back from two goals down to win the Confederations Cup.
With seconds remaining in the half Brazil almost clawed back what would have been a barely merited goal when Maicon got round the back of the American defence, but his cross was deflected away from the lurking Fabiano by Carlos Bocanegra. Barely a minute into the second half, the dynamic of the game changed as Felipe Melo fed Luis Fabiano, who swivelled sharply and shot past Howard. With the momentum now in their favour, Brazil attacked with regularity and were mistakenly denied parity on the hour as Kaka's far post header from an Andre Santos cross was pushed clear by Howard, but replays showed that the ball had crossed the line. Luis Fabiano had a chance to equalise when he was played in on goal by substitute Elano - and played onside by Oguchi Onyewu - but Howard was quick off his line to smother the ball before the striker could shoot. With 15 minutes to go Luis Fabiano did pull his side level. Kaka drove in from the left and crossed for Robinho whose shot hit the underside of the bar but bounced nicely for Luis Fabiano who made no mistake in nodding the ball past the diving Howard. With Brazil now in the ascendancy, the USA were unable to hold out, and five minutes from time the turnaround was complete. Elano's outswinging corner was met by the unmarked Lucio and his powerful header struck the inside of Howard's right-hand post on its way in to break American hearts.

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers