Jumla ya ya washiriki ishirini wamefuzu hatua ya tatu ya kumtafuta nyota wa muziki wa Bongo(Bongo Star Search) Chini ya Udhamini wa Vodacom Tanzania ,Familiy Heath Intenational ,PEPSI,Kilimanjaro Drinking water na precision Air .Akizungumza na waandishi wa habari Jaji wa shindano hilo Rita Paulsen Amesema kuwa iliwachukua wakati mgumu kuchagua washiriki hao ambapo Zanzibar imeshindwa kabisa kutoa mshiriki kutokana na kutokukidhi kiwango cha uwimbaji ambapo aliwataja washiriki waliofanikiwa kuingia hatua ya ishirini bora
Imani lisu,Frola Ezekiel(arusha),Beatrice Casian(Mwanza),Juma Malik ,Mwapwani Yahaya,Sarafina Mshindo(Dodoma)peter Msechu(Kigoma)Leah Julius(Tabora),Issah Ahmed,Anitha Jackson(Mbeya),Jackson George(Tanga)Alice Peter,Catherine Ntepa,Kelvin Mbati,Lulu Abdully,Maybou Mtekateka,Mary Lucas,Yacinta Richard na Saidi Omary(Dar es salaam) vilevile washiriki hao watapata mafunzo zaidi ya Kimuziki na kupigwa msasa ipasavyo na pia wataanza wataanza kutumia ala kwenye uimbaji wao na kutoa nafasi kwa watanzania kuwapigia Kura.
No comments:
Post a Comment