Chama kinachosimamia Mchezo wa kuogerea nchini kimepata msaada kutoka makampuni ya Exporting Trading company Inayo jishgurisha na technorojia ya mawasiliano ya kompyuta limited na Messrs Mahindra and Mahindra inayojishgurisha na vifaa vya kilimo kupeleka mchezaji mmoja katika mashindano ya kugolea duniani FINA yanayotarajia kufanyika Rome iatalia kuanzia July 12 hadi 2 August ambapo Tanzania inatarajiwa kuwakilishwa na wachezaji kumi na mbili na mpaka hivi sasa imepata gharama za mchezaji mmoja.akizungumizia swala hilo katibu mkuu wa Chama Cha kuogerea nchini Ramadhan Namkoveka Amesema kuwa Anaya shukuru sana makampuni hayo kwa msaada walio toa kwani umeleta faraja kwao kwani tamzania itawakilishwa kamakawaida katika michuano hiyo na kuomba makampini mengine kujitokeza kwa wingi kutoa msaada hili kusaidia wachezaji waliobakia kupta nafsi ya kushiriki michuano hiyo.
pichani ni katibu mkuu wa chama kuogerea( TSA) Ramadhan Namkoveka
No comments:
Post a Comment