HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

30 June 2010

Jaji agustino ramadhan kufungua kikapu zbar

kutoka kushoto ni msamizi kutoka idara habari maelezo anayefuata ni katibu mkuu tbf na anafuata kuja kulia ni katibu mkuu msaidizi. Maandalizi ya ligi ya muungano kwa upande wa mpira wa kikapu na tarehe mbili siku ya ijumaa huko zanzibar kutoka bara timu za wanaume ni savio ,jkt,oilers na timu ya mzinga wakati katika upande wa wananawake jesh stone town, kisima majogoo,rangers tonado kutoka pemba polisi, na nyuki jku lengo kubwa zaidi ni kuinua basket ball kiujumla maandalizi yanafanyika zanzibar kwani wao ndio waandaaji wakuu

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers