HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

31 August 2010

MKWASA AFAFANUA KUHUSU POSHO

Kocha mkuu wa timu ya soka taifa ya wanawake twiga stars amesema madai ya posho ambayo walikuwa wakidai wameshapatiwa na bado mambo madogo madogo ambayo yanakalimilishwa kutoka wizarani ambayo yatakamilika hivi karibuni aidha timu ya taifa itaingia kambini hivi karibuni kujiiandaa na michuano ya mataifa ya afrika yatakayofanyika nchi afrika kusini japokuwa makundi bado hayapangwa mpaka wakati huu

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers