HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

31 August 2010

RAGE TUNAKWENDA KIRUMBA

Mwenyekiti wa klabu ya simba ismail aden rage amesema kutokana matengenezo ya uwanja wa uhuru wameamua kutumia uwanja ccm kirumba mwanza kama uwanja wake wa nyumbani aidha mwenyekiti huyo ametoa tamko kwa gazeti la mwanaspot kuomba radhi kwa kuandika habari ambazo ni za uongo na uchochezi kuwa klabu ya simba inafanya mambo kienyeji haifuati mfumo wa kisasa na mambo mengine ambayo aden akautaka kusema kutokana na heshima ya vyombo vya habari kwani sio maneno mazuri amaeawapa siku kumi na nne wawe wameshaomba radhi. 

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers