28 August 2012

OLE WAKE ATAKAE THUBUTU !



 Klabu ya soka ya Dar es salaam yanga african kupitia kwa msemaji wake mkuu imesema yoyote atakaye husika kumgusa au kutaka kumfanyia chochote kile mchezaji wa timu hiyo raia wa jamhuri ya kidemokarisia ya watu wa kongo Mbuyu Twite atakiona kilichomtoa kanga manyoa, siku atakayo wasiri mchezaji kutokea nchini Rwanda ambako anakamilisha baadhi ya  taratibu kabla hajafika jiji dar es salaam tua jiji dar es salaam. nilipata bahati ya kukutana na Louis Sendeu ambaye ndiye mwenye dhama ya kuzungumza kwa klabu hiyo naye alikuwa na haya ya kusema kuhusu mchezaji huyo
SIKIZA HAPA 


No comments:

Post a Comment